July 25, 2016


Kikosi cha Manchester United kimeondoka Beijing nchini China baada ya mechi yao dhidi ya Man City kuahirishwa.

Mechi ya Man United dhidi ya Man City ilikuwa ipigwe leo lakini ubovu wa Uwanja wa Bird Nest ulioharibika kutokana na mvua za mfululizo ilisababisha mechi hiyo kuahishwa.

Man United wameondoka Beijing wakiongozwa na kocha wao mpya, Jose Mourinho ambaye ameikosa mechi hiyo dhidi ya mpinzani wake mkubwa, Pep Guardiola anayeinoa Man City.

MECHI ZIJAZO ZA MAN UNITED:
Julai 30 - Manchester United vs Galatasaray, Gothenburg, Sweden
Agosti 3 - Manchester United vs Everton, Old Trafford

Agosti 7 - Manchester United vs Leicester, Community Shield, Wembley 








0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic