July 2, 2016


Neymar wa Barcelona ndiye anachukua mshahara mkubwa zaidi kwa mwaka mmoja. Nafuatiwa na Messi na hivyo kuifanya Barcelona kuwa inalipa mshahara mkubwa zaidi ikifuatiwa na Madrid.


Tano bora inaonekana kutawaliwa na Barcelona na Madrid zikiwa na wachezaji wawili kila moja. Maana yake timu za Hispania ndiyo zinalipa vizuri zaidi hasa kwa wachezaji wake nyota zaidi.

10 BORA HII HAPA:
Neymar:  euro milioni 56
Messi:  euro milioni 50
Cristiano: euro milion 47.5
Ibrahimovic:  euro milioni 26.7
Bale:  euro milioni 21.4
Rooney:  euro milioni 16.9
Luis Suarez:  euro milioni 16
Iniesta:  euro milioni 16
Hazard:  euro milioni 16
Aguero:  euro milioni 15.1

HII NI KWA MUJIBU WA GAZETI NAMBA MOJA LA MICHEZO LA HISPANIA LA MARCA


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic