July 1, 2016

Kocha Joseph Omog tayari ametua nchini kwa ajili ya kumalizana na uongozi wa klabu ya Simba.

Omog raia wa Camerooon amewasili saa 9 alfajiri akitokea kwao Cameroon tayari kumalizana na Simba leo.


Omog aliyeipa ubingwa Azam FC mwaka 2014, anatarajia kuanza kuinoa Simba rasmi ndani ya siku tatu ikiwa ni baada ya kuingia mkataba leo.

Kocha Jackson Mayanja raia wa Uganda ambaye alikuwa na kikosi msimu uliopita, atakuwa msaidizi wake.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic