July 7, 2016


Kikosi cha Simba, kimeanza maandalizi ya msimu mpya chini ya Kocha mpya, Joseph Omog.

Omog raia wa Cameroon ameanza kuinoa Simba katika Uwanja wa Chuo cha Polisi eneo la Kilwa Road jijini Dar es Salaam ambako mashabiki hawaruhusiwi kuingia kama alivyotaka.

Jumapili, Simba itahama jijini Dar es Salaam kwenda Morogoro kwa ajili ya kambi maalum.


“Kweli kocha amesema hapa ni kama kupasha misuli na baada ya hapo tutaanza kambi rasmi Morogoro. Kule tunakwenda Jumapili,” kilieleza chanzo kutoka ndani ya Simba.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic