August 29, 2016


Barcelona imepata ushindi wake mwingine wa La Liga, safari hii dhidi ya timu ngumu ya Athletic Bilbao.

Hata hivyo, Barcelona ililazimika kufanya kazi ya ziada na kushinda kwa bao 1-0 lililofungwa na Ivan Raktic.


Haikuwa kazi rahisi kwa kuwa wenyeji Bilbao walionekana kuwa kwenye kiwango bora kabisa.

Barcelona ilianza La Liga kwa kishindo kwa kuichapa Real Betis kwa mabao 6-2 huku Luis Suarez akipiga hat trick.
.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic