August 11, 2016


Cristiano Ronaldo na Pepe wamerejea mazoezini Real Madrid na kuungana na wenzao.

Kocha Mkuu, Zinedine Zidane amewakaribisha Wareno hao ambao walipewa mapumziko zaidi baada ya kuisaidia timu yao ya taifa kubeba ubingwa wa Euro.

MECHI ZINAZOFUATA:
Jumanne, August 16: Stade de Reims (H - kirafiki)
Jumapili, August 21: Real Sociedad (A)
Jumamosi, August 27: Celta Vigo (H)
Jumamosi, September 10: Osasuna (H) 






0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic