August 25, 2016



Katika soka, hata kama utanunuliwa kwa bei ghali, mwisho kocha ndiye anakuwa na uamuzi wa nini cha kufanya.

Kama ambavyo inaonekana hapa hawa wafuatao, wana hofu ya kuuzwa licha ya bei kubwa waliyonunuliwa. Huenda wakawa hawataki, lakini makocha ndiyo wanakuwa waamuzi wa mwisho.

BEI WALIZONUNULIWA:
Joe Hart - Manchester City - alisainiwa kwa£100,000

Eliaquim Mangala - Manchester City -alisainiwa kwar £31.8million

Mamadou Sakho - Liverpool - alisainiwa kwa £18million

Lamine Kone - Sunderland - alisainiwa kwa £6million

Juan Cuadrado - Chelsea - alisainiwa kwa £27million

Yaya Toure - Manchester City - alisainiwa kwa £24million

Bastian Schweinsteiger - Manchester United - alisainiwa kwa£14million

Samir Nasri - Manchester City - alisainiwa kwa £25million

Mario Balotelli - Liverpool - alisainiwa kwa £16million

Wilfried Bony - Manchester City - alisainiwa kwa £28million

Loic Remy - Chelsea - alisainiwa kwa £10.5million




0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic