August 2, 2016


 Wanachama wa Yanga, watakutana Jumamosi kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.

Ukumbi huo, Juzi Jumapili wanachama wa Simba walipitisha uamuzi wa klabu yao kuacha mchakato wa kuwa kampuni.

Wanachama hao wa Yanga, watakutana na kupata nafasi ya kuzungumza na Mwenyekiti wao Yusuf Manji.

Baada ya mkutano huo, wanachama hao wa Yanga watapata nafasi ya kuhudhuria mechi ya kirafiki kati ya Yanga dhidi ya Mtibwa Sugar.


1 COMMENTS:

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic