August 24, 2016

Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Charles Boniface Mkwasa ametangaza kikosi cha wachezaji kikiwa na mabadiliko kadhaa ambacho atakiandaa maalumu kwa mchezo hidi ya Nigeria.

Kikosi hicho kina wachezaji 20 ambao atasafiri nao kwenda Nigeria kwa ajili ya mchezo huo wa Septemba 3, 2016 lakini wachezaji wanatakiwa kuripoti kambini Agosti 28, mwaka huu na safari ya kwenda nchini Nigeria itakuwa Septemba mosi.

   


KIKOSI HICHO HIKI HAPA:
Deogratius Munish ‘Dida’
Aishi Manula
Mwinyi Haji
Andrew Vincent ‘Dante’
Juma Mahadhi
Kelvini Yondani
David Mwantika
Himid Mao
John Bocco
Farid Mussa
Jamal Mnyate
Ibrahim Ajib
Shiza Kichuya
Mzamiru Yassin
Mohammed Hussein ‘Zimbwe Jr’
Jonas Mkude
Mbwana Samatta
 Ibrahim Rajabu
Shomari Kapombe
Simon Msuva

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic