August 4, 2016


Mabingwa wa soka Tanzania Bara, Yanga nao wamekabidhiwa jezi zao kwa ajili ya msimu ujao kama unavyoona vijana wakiwa wamezivaa, zitakuwa kwa ajili ya msimu wa 2016-17. Hii ilikuwa katika hafla za makabidhiano ya jezi mpya za msimu ujao zilizofanywa na wadhamini wa Ligi Kuu Bara, kampuni ya simu za mikononi ya Vodacom.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic