September 28, 2016


Mechi ya Real Madrid dhidi ya wenyeji Borussia Dortmund imeisha kwa sare ya mabao 2-2.

Mechi hiyo ilikuwa kali baada ya wenyeji kulazimika kusawazisha mara mbili dhidi ya mabingwa hao wa Ulaya.


Cristiano Ronaldo ndiye alianza kufunga kwa upande wa Madrid, PierreAubameyang akasawazisha dakika ya 43. 

Kipindi cha pili Raphael Varane akaifungia Madrid tena dakika ya 68 lakini ‘jioni’ kabisa katika dakika ya 87, Andre Schuerrle akaifungia Dortmund bao la kusawazisha.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic