October 29, 2016


Bayern Munich imeendelea kupaa kwenye Bundesliga baada ya straika wake,Robert Lewandowski kufunga mabao mawili yenyewe ikishinda kwa 3-1.

Bayern imeitwanga Augsburg na kuendelea kujichimbia kileleni.


Kabla ya mechi ya leo, Bayern waliwatwanga wapinzani wao hao kwa mabao kama hayo katika mechi ya Kombe la Ujerumani.





0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic