October 24, 2016


Real Madrid imeendelea kujichimbia kileleni mwa La Liga baada ya kupata ushindi mwembamba wa mabao 2-1 dhidi ya Athletic Bilbao.

Madrid imepata ushindi huo ikiwa nyumbani Santiago Bernabeu baada ya Karim Benzema kufunga bao la mapema kabla ya Albaro Morata kumalizia kazi dakika za mwisho kabisa.

Hata hivyo, wageni hao walikuwa na nafasi ya kusawazisha mabao yote lakini hawakuzitumia vizuri nafasi hizo.













0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic