November 15, 2016


Beki na nahodha wa zamani wa Manchester United, Garry Neville ametaja kikosi chake cha kwanza cha timu yake hiyo kwa wakati huu.

Neville aliyewahi kuwa kocha wa Valencia ya Hispania amewashangaza wengi baada ya kutaja kikosi ambacho hakina Wayne Rooney wala Zlatan Ibrahimovich.

KIKOSI ALICHOTAJA...
1. David De Gea 
2. Antonio Valencia
3. Daley Blind 
4. Chris Smalling
5. Eric Bailly
6. Michael Carrick
7. Paul Pogba
8. Ander Herrera
9. Anthony Martial
10. Henrikh Mkhitaryan 

11. Marcus Rashford

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic