November 5, 2016


Mshambuliaji Frederic Blagnon amerejea mazoezi katika kikosi cha Simba na kuanza kujifua na wenzake.

Blagnon raia wa Ivory Coast aliikosa Simba katika mechi mbili za mkoani Shinyanga ambako ilikwenda na kuibuka na pointi sita.

Simba ilianza kwa kuitwanga Mwadui FC kabla ya kuimalizia Stand United ambayo haikuwa imewahi kufungwa kwenye uwanja huo, msimu hu.


Blagnon aliungana na wenzake katika maandalizi ya mechi yao ya 14 dhidi ya Africa Lyon kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam, leo.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic