November 10, 2016


Timu ya Simba imepoteza mchezo wake dhidi ya Tanzania Prisons kwenye Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya kwa mabao 2-1. Pichani ni matukio ya mchezo huo wa Ligi Kuu Bara ulivyochezwa, jana Jumatano.
 

Viongozi na wadau wa Simba wakiwa jukwaani wakishuhudia mambo yalivyokuwa magumu kwa timu yao.
Kichuya wa Simba (kushoto) akijaribu kumtoka beki wa Prisons.



Simba wakipongezana baada ya Manyate kufunga bao.



Straika wa Simba, Mavugo akipiga shuti.

Mashabiki wa Simba wakiwa hawaamini kilichotokea uwanjani.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic