November 14, 2016


Mshambuliaji nyota wa Liverpool, Sadio Mane amesema angependa kushinda tuzo ya mwanasoka bora Afrika kama ilivyo kwa shujaa wake.

Shujaa wake ni mshambuliaji mwingine wa zamani wa Liverpool, El Hadji Diouf.

El Hadji Diouf ambaye alijulikana kwa soka safi lakini utukutu pia, aliwahi kuitumikia Liverpool ingawa hakudumu sana.

Mane sasa ni tegemeo la Liverpool katika upachikaji mabao na kuisaidia timu kushinda.




0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic