November 2, 2016





Mbeya City imeitwanga Yanga kwa mabao 2-1 katika mechi ya Ligi Kuu Bara kwenye Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya, leo.

Kipigo hicho kinakuwa ni cha pili kwa Yanga baada ya kufungwa na Stand United bao 1-0 pia.


Taswira zinaonyesha mechi hiyo ya leo, hizi hapa.











2 COMMENTS:

  1. "Yanga ilivyoitoa Yanga sho" what is this?? Umakini upo wapi?

    ReplyDelete
  2. MWAKA WA NTA, IKODISHWE TU TUMECHOKA

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic