November 2, 2016


Beki Tumba Sued wa Mbeya City yeye aliamua kula sahani moja na mshambuliaji Donald Ngoma wa Yanga.

Mbeya City imeitwanga Yanga kwa mabao 2-1 katika mechi ya Ligi Kuu Bara kwenye Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya, leo.




Tumba alikuwa busy na Mzimbabwe huyo kokote aliko na kweli akafanikiwa kumbana vilivyo.


Angalia taswira walivyokuwa wakipambana, haikuwa kazi rahisi.




0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic