February 23, 2017


Leicester City imemtimua kazi kocha wake Claudio Ranieri.


Ranieri ametimuliwa kazi ya kuinoa Leicester ikiwa ni siku 298 na saa kadhaa baada ya kuipa ubingwa wa England.

Ranieri raia wa Italia ametimuliwa siku moja na usher tokea kikosi chake kichapwe mabao 2-1 katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kikiwa ugenini Hispania dhidi ya Sevilla.


Uongozi wa Leicester City umeuita uamuzi huo ni wenye “maumumovu” na sasa msaidizi wake, Craig Shakespeare na kocha mkuu wa timu ya akiba Coach Mike Stowell ndiyo wamekabidhiwa jahazi.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic