PICHAAAAZ...NAMNA TAIFA STARS ILIVYOITUMBUA BURUNDI YA KINA MAVUGO PALE TAIFA Taifa Stars imeitwanga timu ya taifa ya Burundi kwa mabao 2-1 katika mechi ya kirafiki ya kimataifa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Ilikuwa mechi nzuri kila upande ukitaka kushinda. Cheki pichaaaz.
0 COMMENTS:
Post a Comment