April 26, 2017



Lionel Messi ameonyesha hakubahatisha katika mechi ya El Clasico dhidi ya Real Madrid kwa kupiga mabao mawili.

Leo amepiga mbili tena wakati Barcelona ikiitwanga Osasuna kwa mabao 7-1.

Wakati amepiga mabao mawili, Andre Gomes naye ametupia mbili na  Francisco Alcacer naye akatupia mbili na kukamilisha hesabu ya mabao sita.

Lakini beki kisiki raia wa Argentina, Javier Mascherano, naye amepiga moja kukamilisha hiyo hesabu ya wiki.



Barcelona (3-5-2): ter Stegen; Mascherano, Pique, Digne; D. Suarez, Rakitic, Busquets, Andre Gomes, Arda Turan; Alcacer, Messi (Alena 63)
Unused subs: Cillessen, Alba, Umtiti, Iniesta, Sergi Roberto, L. Suarez
Goal: Messi 12, 61, Andre Gomes 30, 57, Alcacer 64, 86, Mascherano pen 67


Osasuna (4-4-2): Sirigu; Bunuel, Oier, Mondragon, Fuentes; Torres, Fausto, Merida (Causic 79), Miguel Angel; Jaime (Olavide 72), Sergio Leon (Kodro 73)

Unused subs: Cuesta, Clerc, Barja, Marquez

Goal: Torres 47 





0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic