April 23, 2017




Hii ni mara ya tatu Mary kushinda London Marathon na kikubwa leo ameweka rekodi ya kukimbia kwa muda wa 2:17:01 ambayo ni rekodi mpya ya dunia.

Kutokana na ushindi huo, Mary anaondoka na kitita cha cola 125,000 (Sh milioni 273), kinachojumuisha uvunjani wake wa rekodi hiyo.



Zawadi ya kawaida ya mshindi hula ni dola 55,000, lakini day huongezeka katakana ana kuvunja rekodi.

Tirunesh Dibaba wa Ethiopia alifukuzana vikali na Mary katika dakika za mwisho hata hivyo Mkenya huyo alionyesha ni bora zaidi alipofanikiwa kuibuka na ushindi huo.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic