Mwanamama muigizaji nyota kutoka Hollywood nchini Marekani alikuwa kati ya watu walioshuhudia mechi ya El Clasico wakati Barcelona ikiitwanga Real Madrid kwa mabao 3-2 mjini Madrid.
Lakini Julia akawa ni mwenye bahati zaidi baada ya kupata nafasi ya kuzungumza na kupiga picha na Lionel Messi wa Barcelona pia staa wa Madrid, Cristiano Ronaldo.
0 COMMENTS:
Post a Comment