July 22, 2017



Hatimaye Chelsea imetimiza ilichotaka kwa kumnasa mshambuliaji Alvaro Morata kutoka Real Madrid kwa mkataba wa miaka mitano.

Chelsea imemwaga pauni milioni 70.6 ili kumpata Mhispania huyo ambaye awali alielezwa kuwa atakwenda Man United.

Morata atakuwa akilipwa mshahara wa pauni 155,000 kwa wiki. 




0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic