August 22, 2017


Barcelona imepanga kumshitaki Neymar ikidai ilipwe pauni miliioni 7.8.
Barcelona wanaamini Neymar alikiuka makubaliano ya mkataba wakati akihamia PSG aliyojiunga nayo kwa kitita cha pauni milioni 198.


Barcelona inataka ongezeko la asilimia 10 katika mauziano hayo ikisisitiza inatakwa ilipwe.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic