August 23, 2017


Simba imeshinda kwa mikwaju 5-4 ya penalti  dhidi ya Yanga na kubeba Ngao ya Jamii.

Mechi hiyo iliyochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, imeisha kwa sare ya bila bao ndani ya dakika 90.

Ilikuwa mechi ya vuta nikuvute, Simba wakitawala zaidi kipindi cha kwanza na kipindi cha pili mwanzoni lakini mwishoni, Yanga wakaonekana kuamka na kuwapa wakati mgumu watani wao.

Angalia picha za Action. 














0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic