August 16, 2017


Ile Semina maalum ya klabu ya Simba imeanza na lengo likiwa ni kutoa mafunzo ya mambo mbalimbali.

Semina hiyo inalenga kujenga uelewa mpana zaid juu ya muundo mpya wa klabu, uliotokana na mabadiliko ya katiba yaliyofanywa na wanachama hao,na kusajiliwa na Msajili wa Vilabu nchini. 



Wanachama wa Simba wamejitokeza kwa idadi ya mafungu ingawa wamekuwa wakiongezeka taratibu na kujaza viti kwenye ukumbi wa Mikumi uliopo kwenye eneo la maonyesho ya kimataifa ya biashara ya Sabasaba (PTA) kurasini hapa jijini Dar es salaam. 





0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic