November 22, 2017



Klabu ya Azam FC, imeongeza nguvu katika safu yake ya ushambulizi baada ya kumsajili mshambuliaji Bernard Arthur kutoka nchini Ghana.

Arthur alikuwa mshambuliaji tegemeo wa Liberty Professional ya Ghana, timu iliyomkuza Michael Essien na kipa wa zamani wa Yanga, Yaw Berko.

Mshambuliaji huyo amesaini mkataba wa miaka miwili mbele ya msimamizi wake na bosi wa klabu ya Azam FC, Abdul Mohammed.






0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic