November 23, 2017




Beki wa zamani wa Simba, Emily Mugeta ambaye sasa anakipiga katika timu ya daraja la tano nchini Ujerumani, amefanyiwa upasuaji wa bega.

Mugeta ambaye aliwahi kucheza Simba akianzia timu ya vijana, amefanyiwa upasuaji huo leo.

“Bega lilinisumbua sana hata kabla sijaja timu hii, lakini mwisho nimepata matibabu na mwisho ni huu upasuaji. Nashukuru kila kitu kimeenda vizuri,” alisema Mugeta.

,


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic