November 23, 2017


Chelsea imeitwanga Qarabag kwa mabao 4-0 katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.


Timu hiyo inatokea nchini Azerbaijan. Hao jamaa waliamua kuyaandika majina ya wachezaji wa Chelsea kwa lugha yao. Basi raha tu.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic