January 22, 2018



Baada ya mshambuliaji Alexis Sanchez kukamilisha uhamisho wake kujiunga na Man United.

Sanchez, 29, anakuwa na mshahara mkubwa zaidi katika kikosi cha Man United inafikia pauni 600,000 kwa wiki. Yaani £350,000 ni mshahara, £100,000 ni haki ya picha na £144,000 bonas.

Kama ni mshahara pekee bila vitu vingine, bado yeye anaongoza.


WANAOONGOZA KWA MSHAHARA MAN UNITED NA MAN CITY
Sanchez: £350,000. 
Paul Pogba - £290,000, 
Romelu Lukaku - £250,000 
Zlatan Ibrahimovic - £220,000

Manchester City:
Sergio Aguero na Yaya Toure -£220,000.

HAKI YA PICHA - £100,000(KWA WIKI)

BONAS-£144,000 (KWA WIKI)

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic