July 18, 2018




Mkurugenzi-mwenza wa Taasisi ya SOMI, Prof. Julian Murchison akimkabidhi zawadi kiongozi wa Kikundi cha Keifo kilichoibuka kidedea katika mashindano ya ngoma za asili kwenye Tamasha la Majimaji Selebuka, Peter Mwampagatwa.



Mkurungenzi-mwenza wa Taasisi ya SOMI, Prof, Julian Murchison akimkabidhi zawadi mwakilishi wa Kikundi cha Sonamcu, Bakari Haule ‘Kagunga’ kilichoshika nafasi ya pili katika mchuano wa ngoma za asili kwenye tamasha la majimaji Selebuka linaloendelea mjini Songea.

1 COMMENTS:

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic