Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simba wamelazimishwa sare ya bila kufungana dhidi ya wenyeji wake, Ndanda FC.
Hii ni sare ya kwanza kwa Simba baada ya ushindi mara tatu mfululizo.
Simba walishambulia mara nyingi zaidi lakini Ndanda wakiwa nyumbani Nangwanda Sijaona walikuwa makini huku wakifanya mashambulizi ya kushitukiza.
Washambuliaji wa wawili tegemeo wa Simba, Meddy Kagere na Emmanuel Okwi walilazimika kupumzishwa kutokana na ugumu wa mechi hiyo.
Huku kiungo mpya wa Simba, Cleotus Chama wa Azam akiichezea timu yake kwa mara ya kwanza.
Kwani kagele,okwi boco na kichuya hawakucheza?
ReplyDeletekwakweli mpira wanaocheza wachezaji wa simba hauendani na gharama wa nazotumia.naona kama mwanamke alienunua smart phon na kila akiona jambo anapiga picha.sitaona ajabu kocha akifukuzwa mechi tatu zijazo.ameludinyuma hatua kumi na tano toka alipoachia lechante
ReplyDeleteHii ni sehemu ya mchezo. Hakuna timu inayoshinda kila siku.Simba walicheza vizuri huku Ndanda wakijihami mchezo wote.Matokeo haya ni kawaida kwenye mpira.
ReplyDeleteKumbuka ndanda walijiapiza lazima wataifunga Simba tena si chini ya goli moja lakini wakapata ushindi sare.
ReplyDeleteLa kushangaza hapa kwani Chama ni mchezaji wa Azam au alitokea Azam? Waandishi muwe makini.
ReplyDeleteSimba hawana kocha na beki imara bali wana mabeberu mawili
ReplyDeletekwa hali hii ndo mutetee ubngwa hzo n ndoto za mchana ambazo hazna ukwel.haooooo! na mikia yao.
ReplyDeletekwan kagere si alisema atafunga kla mech ?leo amefunga ngapi? hahaaaa!,zle mbio 2 za sakafun.
ReplyDeleteShiiimbwa bwana...hahahaaaaa, kelele hazichezi Mpira.mtapata taaabu sana na wazee wazee wenu
ReplyDelete..!
Pambaneni na hali ya timu yenu.Sare na Simba ni sawa na ushindi.Siku Simba ikifungwa mtatembea Uchi mitaani.
ReplyDeleteKUNA JAMBO MOJA LAZIMA TUFAHAMU, KOCHA ANANAFASI YAKE. PIA WACHEZAJI WANANAFASI ZAO. KWA GAME YA JANA WACHEZAJI NDIO WAMETUANGUSHA. WANAANZA GAME KAMA VILE HAITAJI USHINDI. MUDA UMEKWENDA ZIMEBAKI DAK 20,15 NDO WANAANZA KUKOMAA.SISI MASHABIKI HATUPENDEZWI NA HIYO TABIA YA WACHEZAJI KUCHUKULI GAME POA AU KUZARAU BAADHI YA TIMU. HII TABIA KUZARAU BAADHI YA TIMU IMETUGHARIMU KWA MIAKA MINGI NA HATIMAYE KUPOTEZA MATAJI.JITIHADA ZA WACHEZAJI KUITAFUTIA TIMU YAO USHINDI NI LAZI ZIONEKANE KUANZIA DAKI YA 1 HADI DAK 90 YA MCHEZO.IKITOKEA HATUPATI MATOKEO MAZURI BASI IWE NI KWA SABABU YA WAPINZANI WETU NAO KUPAMBANA/KUWA VIZURI.WACHEZAJI WA SIMBA LAZIMA WABADILIKE, WAJIFUNZE KWA TIMU KAMA MAN CITY, WACHEZAJI WANAJITUMA MUDA WOTE UWANJANI NA TIMU INAPATA MATOKEO.HILI LA WACHEZAJI WETU KAMA UONGOZI, BENCHI LA UFUNDI NA WACHEZAJI WENYEWE WASIPOLIONA KWA HARAKA NA KUBADILIKA ITATUSABABISHA TURUDI KULE TULIPOKUWA MIAKA MITATU ILIYOPITA.TIMU KAMA IKASHINDWA KATIKA MAZINGIRA KUPAMBANA HUTUWEZI KUHAMAKI. JANA HATA SHOT ON TARGET TAABU.
ReplyDeleteKUNA JAMBO MOJA LAZIMA TUFAHAMU, KOCHA ANANAFASI YAKE. PIA WACHEZAJI WANANAFASI ZAO. KWA GAME YA JANA WACHEZAJI NDIO WAMETUANGUSHA. WANAANZA GAME KAMA VILE HAITAJI USHINDI. MUDA UMEKWENDA ZIMEBAKI DAK 20,15 NDO WANAANZA KUKOMAA.SISI MASHABIKI HATUPENDEZWI NA HIYO TABIA YA WACHEZAJI KUCHUKULI GAME POA AU KUZARAU BAADHI YA TIMU. HII TABIA KUZARAU BAADHI YA TIMU IMETUGHARIMU KWA MIAKA MINGI NA HATIMAYE KUPOTEZA MATAJI.JITIHADA ZA WACHEZAJI KUITAFUTIA TIMU YAO USHINDI NI LAZI ZIONEKANE KUANZIA DAKI YA 1 HADI DAK 90 YA MCHEZO.IKITOKEA HATUPATI MATOKEO MAZURI BASI IWE NI KWA SABABU YA WAPINZANI WETU NAO KUPAMBANA/KUWA VIZURI.WACHEZAJI WA SIMBA LAZIMA WABADILIKE, WAJIFUNZE KWA TIMU KAMA MAN CITY, WACHEZAJI WANAJITUMA MUDA WOTE UWANJANI NA TIMU INAPATA MATOKEO.HILI LA WACHEZAJI WETU KAMA UONGOZI, BENCHI LA UFUNDI NA WACHEZAJI WENYEWE WASIPOLIONA KWA HARAKA NA KUBADILIKA ITATUSABABISHA TURUDI KULE TULIPOKUWA MIAKA MITATU ILIYOPITA.TIMU KAMA IKASHINDWA KATIKA MAZINGIRA KUPAMBANA HUTUWEZI KUHAMAKI. JANA HATA SHOT ON TARGET TAABU.
ReplyDelete