Kampuni maarufu zaidi ya ya Kubashiri Michezo Tanzania ya SportPesa, leo Alhamisi imezindua rasmi promosheni ya kuinua maisha kiuchumi ijulikanayo kwa jina la Shinda Zaidi na SportPesa itakayodumu kwa siku 100 ambapo mshindi atajishindia Bajaj RE mpya.
Promosheni hiyo ambayo imeanza kwa watakaobashiri mechi za leo Alhamisi kupitia SportPesa, kesho Ijumaa mshindi wa kwanza anatarajiwa kukabidhiwa zawadi yake hiyo ya bajaj.
0 COMMENTS:
Post a Comment