Atletico Madrid imeangukia kwa wapinzani wake wakuwa Barcelona kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa hatua ya robo fainali.
Lakini jana imekiona jana moto baada ya kuchapwa mabao 2-1 kwenye La Liga katika mechi dhidi ya Sporting Gijon.
Kupoteza kwao ni furaha kwa Barcelona ambayo wanakimbizana nayo, huku Real Madrid ikivizia kuwaangusha pia.
0 COMMENTS:
Post a Comment