September 30, 2016


Watani wa jadi, Yanga Vs Simba wanakutaka kesho Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Lakini joto la mechi hiyo linazidi kupanda kwa kasi kubwa, hasa mitaani kwa watu kuvaa mavazi yanayoashiria wanasapoti timu gani.


Mfano, gari hilo aina ya VW ‘Bito’, mwenyewe anaonyesha kabisa ni shabiki wa Yanga au Wanajangwani na anajiamini kwamba, kesho wao ni kama kawa.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic