June 27, 2017


Kiungo mwenye kasi wa Man City Kevin De Bruyne ameamua kumaliza ubishi na kuachana na ukapera.

De Bruyne amefunga ndoa na mpenzi wake Michele Lacroix. 

Tayari wawili hao wamejaaliwa mtoto wa kiume aitwaye Mason Milian.

Walikutana mwaka 2014 kabla ya kuanzisha urafiki na baadaye sasa wameamua kufunga ndoa kabisa jijini Paris, Ufaransa.



0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic