June 29, 2017




Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limefanya usaili kwa wagombea 29 wa nafasi mbalimbali katika siku ya kwanza ya hatua hiyo muhimu kuelekea uchaguzi mkuu wa shirikisho.

Kabla ya usaili, Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi, Revocatus Kuuli, aliwatangazia wagombea wote kuwa amepokea mapingamzi mawili ambayo ni:-

Hussein Mwamba ambaye ni Mjumbe kwa sasa wa Kamati ya Utendaji ya TFF, aliyempinga Mussa Sima kuwa amejitokeza kuwania nafasi hiyo katika Kanda ya 10 ya Mikoa ya Dodoma na Singida kuwa hana uzoefu wa miaka mitano.

Wanafamilia wote kwa maana ya Mwamba na Sima walikuwako. Wakaitwa kikaoni, lakini mweka pingamizi - Mwamba aliamua kulitoa pingamizi lake.

Pingamizi jingine ambalo liliwekwa leo ni kwa Mgombea nafasi ya urais John Kijumbe ambaye anapinga Wallace Karia - Makamu Rais kwa sasa wa TFF kwamba hana sifa za kuwania urais wa TFF kama alivyoomba.

Hata hivyo, pingamizi hilo halijasikilizwa kwa sababu ya wahusika wote kutokuwako na baada ya kamati kufanya nao mawasiliano, wametangaza kusikiliza pingamizi hilo Jumamosi ambayo ni siku ya mwisho ya usaili.

Wagombea ambao wamesailiwa leo hadi jioni ya leo Alhamisi kwa upande wa wagombea urais ni Imani Madega na Ally Mayay wakati Wagombea Makamu urais waliosailiwa ni Mtemi Ramadhani na Mulamu Nghambi.

Kanda Na. 1 Mikoa ya Kagera na Geita;
Soloum Chama
Kaliro Samson
Leopold Mukebezi

Kanda Na. 2 Mikoa ya Mara na Mwanza;
Aaron Nyanda 
Samwel Daniel

Bado
Vedastus Lufano
Ephraim Majinge

Kanda Na. 3 Mikoa ya Shinyanga na Simiyu;
Mbasha Matutu

Bado
Benista Rugora
Stanslaus Nyongo

Kanda Na. 4 Mikoa ya Arusha na Manyara; 
Wote Bado
Omari Walii
Sarah Chao
Peter Temu

Kanda Na. 5 Mikoa ya Kigoma na Tabora;
John Kadutu

Bado
Issa Bukuku
Abubakar Zebo
Francis Michael

Kanda Na. 6 Mikoa ya Katavi na Rukwa;
Baraka Mazengo

Bado
Kenneth Pesambili

Kanda Na. 7 Mikoa ya Mbeya, Songwe na Iringa;
Elias Mwanjala
Cyprian Kuyava

Bado
Erick Ambakisye
Abousuphyan Silliah

Kanda Na. 8 Mikoa ya Njombe na Ruvuma;
Wote bado
James Mhagama
Golden Sanga
Vicent Majili
Yono Kevela

Kanda Na. 9 Lindi na Mtwara;
Wote Bado
Athuman Kambi
Dunstan Mkundi

Kanda Na. 10 Mikoa ya Dodoma na Singida; 
Hussein Mwamba
Mohamed Aden
Musa Sima
George Benedict Komba

Bado
Stewart Masima 
 Ally Suru
Kanda Na. 11 Mikoa ya Pwani na Morogoro;
Gabriel Mkwawe
Bado
Charles Mwakambaya
Francis Ndulane
Hassan Othman ‘Hassanol’ 

Kanda ya 12. Mikoa ya Kilimanjaro na Tanga
Khalid Mohamed
Bado
Goodluck Moshi
Thabit Kandoro

Kanda Na. 13 Mkoa wa Dar es Salaam
Emmanuel Ashery
Shaffih Dauda
Mussa Kisoky
Lameck Nyambaya
Jamhuri Kihwelo
Saad Kawemba
Bado
Bakari Malima
Ayoub Nyenzi
Saleh Alawi
Ramadhani Nassib
 Aziz Khalfan
Abdul Sauko
Peter Mhinzi
Ally Kamtande

Said Tully

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic