TAMBWE |
Yanga imeamua kufanya mambo kitaalamu baada ya kuwapima wachezaji wake afya.
Mabingwa hao wa Tanzania Bara wamewapima wachezaji hao afya kuangalia mambo mengi kuhusiana na afya.
Baadhi ya wachezaji waliofanyiwa vipimo vya afya ni pamoja na Vicent Andre ‘Dante’, Said Juma ‘Makapu’, Amissi Tambwe na wengineo.
0 COMMENTS:
Post a Comment