Afcon ya mwakani inafanyika Cameroon na kama Uganda itaichapa Cape Verde katika mchezo ujao, huku Taifa Stars ikiichapa Lesotho, basi moja kwa moja timu hizo zitakuwa zimefuzu bila ya kusubiri mechi ya mwisho.
Baada ya mchezo uliopita Taifa Stars kuichapa Cape Verde mabao 2-0, Amunike alisema: “Kikosi changu kina wachezaji wenye viwango vya juu, nawaamini na naamini tunaweza kufi kia malengo yetu.
0 COMMENTS:
Post a Comment