kadi mbili za njano katika mechi moja husababisha nyekundu ambayo adhabu inaambatana na mchezaji kukosa mechi moja!..Kadi nyekundu ya moja kwa moja ndio mchezaji anatakiwa kukosa mechi mbili!
safi kabusa..ni vizuri kutumda kikosi chenye uwezo wa kufunga magoli mengi...maana kama umecheza mechi mbili unanyimwa penalt za wazi zaidi ya tatu..kuna njama za kuizuia SIMBA isipate ushindi..Bora kutumia kikosi cha maangamizi
Safi
ReplyDeleteHaruna Niyonzima Amemaliza Adhabu Yake Ya Kadi Nyekundu ? Naomben Jibu Wadau Sikufuatilia Vizuri.
ReplyDeletekadi mbili za njano katika mechi moja husababisha nyekundu ambayo adhabu inaambatana na mchezaji kukosa mechi moja!..Kadi nyekundu ya moja kwa moja ndio mchezaji anatakiwa kukosa mechi mbili!
DeleteAsante Mkuu Kwa Kunijuza
DeleteItakua t asingepangwa sasa.....kikos kzr Sana Sana natumain game plan ime tofaut Leo sabab tushafaham hali halis ya uwanja
ReplyDeletesafi kabusa..ni vizuri kutumda kikosi chenye uwezo wa kufunga magoli mengi...maana kama umecheza mechi mbili unanyimwa penalt za wazi zaidi ya tatu..kuna njama za kuizuia SIMBA isipate ushindi..Bora kutumia kikosi cha maangamizi
ReplyDeleteLeo wajelajela watalia sana hakuna mchezo ni 3-0
ReplyDelete