MAVUGO ATWAA TUZO YA MCHEZAJI BORA ZAMBIA, AFUNGA MABAO 10
Straika wa zamani wa timu ya Simba, Laudit Mavugo, ametwaa tuzo ya ufungaji bora nchini Zambia.
Mavugo ambaye anakipiga na Napsa Stars hivi sasa ya nchini humo, ameisaidia timu hiyo kupata jumla ya mabao 10.
Straka huyo aliyekuwa hana bahati alipojiunga na Simba misimu kadhaa iliypita, amekuwa mchezaji tegemeo kunako timu yake.
ndo unagundua kabsa mikia f.c hawajui kuwatumia wachezaj hata haruna tuliona alvokashuka kiwango.
ReplyDeleteNyie vyura mmeshindwa nini kumsajili huyo Mavugo na kumrejesha Haruna matopeni ?
ReplyDelete