PATRICK
Sibomana, mshambuliaji wa Yanga ambaye alifunga bao pekee la kusawazisha mbele
ya Township Rollers uwanja wa Taifa, amesema kuwa wanapindua meza nchini Botswana.
Yanga kwa sasa ipo nchini Botswana kwa ajili ya maandalizi ya mwisho wa mchezo wao wa marudio utakaopigwa Agosti 24 nchini Botswana na mchezo wa kwanza walilazimisha sare ya kufungana bao 1-1 wana kazi ya kutafuta ushindi.
“Mpira una
matokeo mengi hivyo kushindwa kupata ushindi nyumbani inaumiza lakini bado tuna
nafasi ya kushinda kwao na hicho ndicho tunachohitaji kukifanya," amesema
0 COMMENTS:
Post a Comment