Man United imepata sare
ya bao 1-1 ikiwa ugenini dhidi ya Leicester City na sasa imeendelea kubaki
katika nafasi ya pili baada ya kufikisha pointi 28.
Leicester waliokuwa
nyumbani wameshuka hadi nafasi ya tatu wakiwa na pointi 27 huku Man City ambayo
imeshinda kwa mabao 3-1 dhidi ya Southampton leo, imekaa kileleni ikiwa na
pointi 29.
MAN UNITED XI:
De Gea, Darmian,
McNair, Smalling, Blind, Carrick, Schweinsteiger, Mata, Young, Rooney, Martial
Leicester
City XI:
Schmeichel; Simpson, Huth, Morgan (c), Fuchs; Mahrez,
Kanté, Drinkwater, Albrighton; Okazaki, Vardy
0 COMMENTS:
Post a Comment