August 1, 2017




Kipa wa zamani wa Yanga, Deogratius Munish ‘Dida’ amesajiliwa na klabu ya Chuo Kikuu cha Pretoria.

Timu hiyo maarufu kama Tuks FC inashiriki Ligi Daraja la Kwanza nchini Afrika Kusini.

Mara ya mwisho iliteremka daraja kutoka Ligi Kuu Afrika Kusini maarufu kama ABSA Premiership baada ya kushika nafasi ya 15 ilikuwa ni msimu wa 2015-16.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic