Mnawapamba sana Taifa stars magazetini lakini kusema kweli bado sana ni afadhali hata timu ya vijana Serengeti boys kuliko hao kaka zao,kwanza ningependa iwepo mechi Kati ya Taifa stars na vijana wa Serengrti boys uone kama wazee wazima ulimi hautawatoka nje.
Mnawapamba sana Taifa stars magazetini lakini kusema kweli bado sana ni afadhali hata timu ya vijana Serengeti boys kuliko hao kaka zao,kwanza ningependa iwepo mechi Kati ya Taifa stars na vijana wa Serengrti boys uone kama wazee wazima ulimi hautawatoka nje.
ReplyDeleteUna hoja nzuri shida ni namna ulivyoiwasilisha
Delete