August 17, 2019


ROMELU Lukaku, mshambuliaji mpya wa kikosi cha Inter Milan ametupa dongo kimtindo kwa timu yake ya zamani ya Manchester United alipokuwa akitoa mlinganisho wa mazoezi akiwa na kikosi chake kipya.

Lukaku amenukuliwa akisema kuwa alipokuwa England mazoezi yalikuwa ni mengi lakini Inter Milan kuna mazoezi ya ukweli kauli ambayo imetafsiriwa kuwa ni dongo kwa Manchester United iliyo chini ya Ole Gunnar Solkjaer.

"Hapa mazoezi ni magumu, kule England kazi ni nyingi na lakini huku kuna mazoezi ya ukweli," amesema.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic