TANGU mwaka 2001 ambapo mechi za Ngao ya jamii zilianza kuchezea hapa nchini tayari zimechezwa mechi 11.
Yanga inaoongoza Kwa kucheza mechi nyingi ambazo ni nane na kuikimbiza Azam FC ambayo imecheza jumla ya michezo tano.
Pia imetwaa mataji mengi ambayo ni matano, Simba imetwaa mara nne, Azam FC Mtibwa zimeshinda mojamoja.
Yanga ni wababe wa kutwa taji la ngao ya jamii kwa sasa rekodi ambayo inawapasua kichwa Simba kwa sasa wakihaha kuivunja leo.








upuuzi!baada ya leo andika tena kama bado Yanga ni balaaa..Walishachukua mara tatu mfululizo?
ReplyDeleteusifute tafadhali
tupelo matokeo ya Yanga vs AFC Leopards
ReplyDeleteMbona haueleweki na poits zako? Shida unamaanisha kocha msaidizi au utendaji kwa maana ya viongozi na mfumo mzima wa kuiongoza club kwamaana uwekezaji/udhamin?
ReplyDelete