VIDEO:HILI HAPA GOLI LA SIMBA LILILOKATALIWA, CHEKI ILIVYOKUWA WAKATI ubao wa Gwambina Complex ukisoma Gwambina 0-1 Simba, dakika ya 74 Simba walipata bao la kichwa kupitia kwa Joash Onyango, ila lilikataliwa na mwamuzi, cheki namna ilivyokuwa
Ingekuwa Utopolo wangetangaza kujitoa kwenye league
ReplyDeleteMeamuzo aliingia uwanjani na maagizo maalumu, kuzuia simba asishinde. Atakuwa anaona aibu huko aliko maana teknolojia imemuumbua
ReplyDeleteHt goli la zimbwe angekuwa line1 ndo yupo upande ule angenyanyua kibendera kuwa kagere alkuwa offside
ReplyDeleteHt goli la zimbwe angekuwa line1 ndo yupo upande ule angenyanyua kibendera kuwa kagere alkuwa offside
ReplyDelete